Kiungo wa Yanga, Mbuyu Twite
(kushoto) akiwania mpira na Shomari Kapombe wa Azam muda mfupi uliopita
kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
AZAM FC imetinga nusu fainali ya Kombe la Kagame jioni hii kwenye
Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kuifunga Yanga kwa penalti 5-3.
Aliyekosa penalti kwa upande wa Yanga ni beki wa kushoto, Haji Mwinyi.
Thursday, July 30, 2015
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
SPORTS AND ENTERTAINMENTS
on Thursday, July 30, 2015

Note: Only a member of this blog may post a comment.