Monday, July 20, 2015

Anonymous

UNAMKUMBUKA Muimbaji wa Longombas, Christian?! Aondolewa Uvimbe Kwenye Ubongo, Anahitaji Maombi Yako Mdau!

Muimbaji wa kundi la Longombas la nchini Kenya, Christian Longomba amefanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe aliokuwa nao kichwani. Muimbaji huyo amefanyiwa upasuaji wa pili.
L1  
Christian wakati akisubiri kufanyiwa upasuaji
l2  
Baada ya upasuaji
Hii ni taarifa iliyotolewa na msanii, Daddy V.
Christian’s journey still continues, after the second surgery, the doctors noted that they were able to safely remove 90% of the tumor and he still needs to go through six weeks or more of radiation in order to completely remove the tumor. Now Christian can’t perform or work even if he wanted to. Being away from home and not being able to work, this tragic journey has left Christian with a huge medical bill. Please, let’s support Christian and his family in this moment of his recovery. Please continue praying for Christian and send your financial support to clear his medical bills.
May 18, 2015, Christian alipatwa na kifafa na kupelewa hospitali na baada ya vipimo alibainika kuwa na tatizo kubwa kichwani – Falx and parasagittal meningiomas.
Michango inachangishwa ili kusaidia gharama za matibabu yake. Kama unataka kuchangia, bofya hapa.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.