Thursday, July 2, 2015

Anonymous

Taarifa za huyu jamaa kujichora tattoo ya Linah zikamfikia Soudy Brown!

liiina 
Soudy Brown kazungumza na Linah Sanga kuhusu mpenzi wake wa sasa ambaye amejichora tattoo, mweyewe amesema mpaka sasa wana muda wa mwezi mmoja tangu wajuane na alichora tattoo hiyo ikiwa ni wiki mbili tu tangu wajuane.
Linah Kipenziangu 
Linah amesema kwa mara ya kwanza walikutana kwenye mgahawa wa News Cafe, wakabadilisha namba na baada ya hapo mawasiliano yao yakaendelea.
Anasema baada ya kugundua amechorwa tattoo yake alijisikia furaha kwa kuwa kitendo cha mtu kujichora tattoo ya mtu mwingine ni maamuzi magumu sana na inaonesha mapenzi ya kweli kwa kuwa ilikua ni wiki mbili tu tangu wafahamiane.
Linah Wangu 
Msikilize Linah mwenyewe hapa akimpa hizo story Gossip Cop.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.