Thursday, July 23, 2015

Anonymous

CHADEMA Wafunika Mwanza, Waahidi Kumsimamisha Mgombea Makini!


Wakazi wa Jiji la Mwanza wakiwa wamefurika katika mkutano wa Chadema jana kwenye Viwanja vya Magomeni , Mwanza
Baadhi ya viongozi wa Chadema wakiwasili katika Viwanja vya Magomeni jijini Mwanza.

Mbunge wa Kahama, James Lembeli aliyejiunga rasmi Chadema akitokea CCM.
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu akiwasili.
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akielekea jukwaani.
Dk Willibrod Slaa akiwa na Mbunge wa Viti Maalumu, Ester Bulaya ambaye naye alijiunga na chama hicho akitokea CCM.
James Lembeli na Ester Bulaya katika pozi.

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana ( Chadema), Ezekiel Wenje, akiwahutubia wananchi wa Mwanza.

Tundu Lissu akiongea na wakazi wa Mwanza wakati wa mkutano huo.

Nyomi ikifuatilia mkutano wa Chadema.

Wananchi wa Mwanza wakiwa wameinua mikono juu.

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akiwahutubia wakazi wa Mwanza.

Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika akiongea na wakazi wa Mwanza.

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akihutubia umati wa wakazi wa Mwanza waliofika kwenye Viwanja vya Magomeni jana.

Umati ukifuatilia mkutano wa Chadema jana.

Lembeli na Bulaya wakifuatilia mkutano huo.

Lembeli akirudisha kadi ya CCM tayari kuchukua ya Chadema.

…Akikabidhiwa kadi ya Chadema.

Ester Bulaya akionyesha kadi yake ya Chadema.

Pipooooz

Lembeli na Bulaya wakionyesha ishara ya Chadema mara baada ya kujiunga rasmi na chama hicho.

Lembeli katika ubora wake.

Baadhi ya viongozi wa Chadema wakifuatilia mkutano huo.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwahutubia wakazi wa Mwanza.

Watu wote Pipoooooozzzzzz

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.