Wednesday, July 15, 2015

Anonymous

ANGEL Di Maria Kujiunga na PSG

Di Maria
Mchezaji wa Manchester United Angel Di Maria amewaeleza wakuu wa kilabu ya PSG nchini Ufaransa kwamba anataka kujiunga na kilabu hiyo.

Kulingana na gazeti la Le Perisien mazungumzo kati ya vilabu hivyo viwili yanaendelea huku wakidaiwa kukubaliana kwa kitita cha pauni milioni 42.8.
Di Maria amekosa kuichezea Man United katika ziara ya timu hiyo kabla ya kuanza kwa msimu ujao nchini Marekani akidaiwa kupumzika baada ya kushiriki katika kombe la Copa America.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.