Sunday, July 12, 2015

Anonymous

ACT-Wazalendo WAMKANA LOWASSA!

Taarifa ya Chama cha ACT wazalendo kuhusu uvumi wa Lowasa kuhamia kwetu na kusambazwa na mitandao ya kijamii kuwa tunajiandaa kumpokea Lowasa si za kweli naomba mzipuuze.

Wanaofanya na kusambaza habari hizo wameamua kuupotosha umma.
Abdallah khamis
Afisa Habari ACT Wazalendo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.