Thursday, June 4, 2015

Anonymous

Ukimya Wa Zitto Kabwe Na ACT yake Kunani?!

Simsikii tena zzk na zile harakati zake za kuitangaza ACT kulikoni?
Au ndio "safari ya kukata tamaa imeanza"?
Au ndio kusema kimya kingi kina mshindo?
Rudi Bwana Zitto Kabwe tuna kuhitaji sana katika tasnia hii ya siasa za kibongo!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.