Saturday, June 20, 2015

Anonymous

TAHADHARI Kwa Wanaotuia Dawa za Kuongeza MAKALIO na Dawa Hizi za Kujichubua ZIlizotajwa Hapa...!

Mkaguzi wa Vyakula na Dawa toka Mamlaka ya TFDA, John Mosha amesema watu wanaotumia dawa mbalimbali kuongeza na kupunguza ukubwa wa maumbile yao wako katika hatari ya kupata saratani ya ngozi kutokana na dawa wanazotumia kuaminika kuwa zina viambata vya sumu. 

Baadhi ya dawa zilizopigwa marufuku ni pamoja na hip up cream, breast cream, lift up na fem tight.
Mosha amesema dawa hizo zina viambata sumu ambavyo vinaingia kwenye ngozi na kusababisha saratani ya ngozi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.