Staa wa Bongo Movies, Lucy Komba ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni
ameonesha nia yake ya kurudi ya kuja kuwania ubunge. Lucy ameyaseme hayo
kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram ambapo alianza
kwa kuwapongeza wasanii wenzake wote walioamua kujikita kwenye siasa.
“Msiseme wanawake tu semeni pia na wasanii tunaweza,
hongereni wote wasanii mlioamua kujikita kwenye siasa na mimi nakuja
huko kuchukua ubunge wa kwetu Songea”- Lucy ameandika.
Kila la kheri Lucy.

Note: Only a member of this blog may post a comment.