Friday, June 19, 2015

Anonymous

EDWARD LOWASA HANA HABARI ACHOMA NYAMA BAADA YA UDHAMINI MNONO

Waziri mstaafu Edward Lowasa leo amekula nyama ya kuchoma akiwa eneo la Mombo,Korogwe Tanga akijipongeza kwa mapokezi na udhamini mnono wa wananchi wanao muhitaji awe rais.
Safari ya matumaini lazima watanzania tujipooze na nyama choma!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.