Wakati
unajiandaa kupitia makubwa yote yaliyoandukwa na Magazeti ya
Tanzania,nimeona nikutangulizie hizi dakika 20 kwanza upate kusikia
kilichoandikwa na Magazeti yetu.
Miongoni mwa stori kubwa za leo ni pamoja na isue ya mafuriko ambayo Rais Jakaya Kikwete amemuagiza mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda kuweka pampu zitakazosaidia baadhi ya nyumba kutoa maji.
Unaweza kusikiliza haya yote kwa kubonyeza play hapo chini mdau wangu....
Miongoni mwa stori kubwa za leo ni pamoja na isue ya mafuriko ambayo Rais Jakaya Kikwete amemuagiza mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda kuweka pampu zitakazosaidia baadhi ya nyumba kutoa maji.
Unaweza kusikiliza haya yote kwa kubonyeza play hapo chini mdau wangu....

Note: Only a member of this blog may post a comment.