Sunday, May 31, 2015

Anonymous

Baada ya LOWASSA Kutikisa Nchi Jana...Mengine ya January Makamba yako hapa mdau!

January 2 
Tume ya taifa ya uchaguzi imeshatangaza kwamba uchaguzi mkuu utafanyika October 2015 ambapo sasa ni headlines zake zinachukua nafasi kwa watu mbalimbali kutangaza nia za kugombea nafasi ya juu ya Urais. 

Post hii inamilikiwa na January Makamba ambae ni Mbunge wa Bumbuli Tanga na anautaka Urais pia ambapo May 30 2015 aliandika >>> ‘Wiki ijayo tutataarifu ni lini na kwa namna gani tutazungumza na Watanzania, kuchukua fomu, kuanza safari za mikoani kukutana na Watanzania
January
Kwenye uchaguzi huu mkuu ambako tutampata Rais wa Tanzania kwenye awamu ya tano tayari mpaka sasa idadi ya Makada wanaotajwa kujitosa kuwania Urais CCM inaweza kuzidi 30 sababu wengine wanatarajia kujitokeza wiki ijayo kwa mujibu wa gazeti la MTANZANIA.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.