Tuesday, April 14, 2015

Anonymous

PICHAZ: ZITTO KABWE HAKAMATIKI MIKOANI...SHUHUDIA ALICHOKIFANYA MOROGORO!


Viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakicheza wimbo wa chama hicho, kwenye eneo la Uwanja wa Ndege mjini Morogoro kabla kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe hajaanza kuhutubia. (Picha na Said Powa)
Kiongozi wa chama hicho akiwahutubia wananchi.
Wakazi wa Mji wa Morogoro wakigombea kununua kadi za chama cha ACT -Wazalendo kwenye eneo la Uwanja wa ndege mjini Morogoro.
Wakazi wa Mji wa Morogoro wakigombea kununua kadi za chama cha ACT-Wazalendo kwenye eneo la Uwanja wa Ndege mjini Morogoro.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.