Monday, April 27, 2015

Anonymous

PICHAZ: TAZAMA ARSENAL, CHELSEA WALIVYOTOANA JASHO KUSAKA UBINGWA EPL!


Santi Cazorla akipiga mpira uliomgonga mkononi beki wa Chelsea Gary Cahill wakati wa mechi ya leo.
Oscar wa Chelsea akikwaana na kipa wa Arsenal David Ospina wakati wa mtanange wa leo.
Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akizawadiwa kadi ya njano baada ya kujirusha akitafuta penalti.
ARSENAL na Chelsea leo zimeshindwa kutambiana katika mechi yao ya Ligi Kuu ya England iliyopigwa kwenye Uwanja wa Emirates jijini London. Mpaka mwisho wa dakika 90, Arsenal 0-0 Chelsea.
Kwa matokeo ya leo Chelsea wamefikisha pointi 77 wakiwa nafasi ya kwanza huku Arsenal wakiwa na pointi 67 katika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City. 

VIKOSI:
Arsenal (4-2-3-1): Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin (Welbeck 75), Cazorla, Ramsey, Ozil, Sanchez, Giroud (Walcott 82)
Waliokuwa benchi: Szczesny, Debuchy, Gibbs, Wilshere, Flamini
Chelsea (4-2-3-1): Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian (Cuadrado 90), Oscar (Drogba 46), Hazard, Fabregas (Zouma 90)
Waliokuwa benchi: Cech, Luis, Mikel, Loftus-Cheek

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.