PICHAZ: [MAHABA NIUE] NAY WA MITEGO NA SHAMSA FORD WA BONGO MUVI WAKIFANYA YAO LIVE
Baada
ya ivi karibuni staa aliyefanya vizuri kwenye movie ya CHAUSIKU, Shamsa
Ford kutangaza rasmi kuachana na aliyekuwa mume wake, kwa kigezo kuwa
mwanaume huyo alikuwa akimtesa na kumpiga kwa muda mrefu, uku
akimshutumu mwanaume huyo kutoijali familia yake zaidi ya marafiki na
starehe, kitu ambacho kimemfanya staa huyo ajiweke pembeni kuepusha
msongamano.
Siku
chache baada ya staa huyo kutangaza rasmi kuachana na zilipendwa wake
huyo anayefahamika kwa jina moja la Dickson, hivi sasa staa huyo yupo
kwenye mahaba mazito na mwana hip hop maarufu nchini, Ney wa mitego,
ambapo kwa nyakati tofauti wameonekana wakiwa wote zero distance , uku
wakijiachia na mapicha kama ilivyo kawaida ya mastaa watafuta kick.
Kitendo hicho kimewashtua kama sio kuwapandisha presha wapenda ubuyu wa mujini.
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
WASANII
on Wednesday, April 8, 2015
Note: Only a member of this blog may post a comment.