Hilo limeendelea lakini bado kuna ishu 
oinawaacha watu njia panda,  zaidi ya wanafunzi 166 hawajulikani walipo,
 familia zao bado zimeendelea kulalamika kutokana na baadhi ya ndugu zao
 kutoonekana. 
Uamuzi mwiingine mgumu uliotangazwa na 
Kenya ni kulitaka Shirika la Wakimbizi UNHCR ndani ya miezi mitatu 
kufunga kambi ya wakimbizi  iliyoko mashariki mwa nchini hiyo, pamoja na
 kuwarudisha kwao wakimbizi ambao ni raia wa Somalia zaidi ya laki nne. 
Bonyeza play kusikiliza taarifa hiyo iliyoripotiwa na kituo cha K24…
#RIP kwa ndugu zetu waliofariki kwenye shambulio hilo 
 

 
 
 
 
Note: Only a member of this blog may post a comment.