Thursday, April 16, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: DAR EXPRESS LAPATA AJALI MAENEO YA MTO WAMI MAPEMA ASUBUHI HII!

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba basi mali ya kampuni ya Dar Express linalofanya safari zake kati ya Dar-Nairobi limepata ajali katika mto Wami mapema asubuhi leo...Mpaka sasa hakuna vifo vilivyoripotiwa,.
Kwa taarifa zaidi tutaendelea kukujuza punde tu zitakapojiri! 
NEW UPDATES:
ZAIDI ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar Express lililokuwa linatoka Dar kwenda Nairobi kupasuka tairi la mbele kushoto kisha kupinduka katika eneo la Msata karibu na daraja la Wami mkoani Pwani leo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.