Wednesday, April 15, 2015

Anonymous

BABY MADAHA AFUNGUKA KUHUSU KUPATA MTOTO!

Baby Madaha
Msanii wa muziki na filamu nchini, Baby Madaha, amesema anajiandaa kupata mtoto wa kumliwaza kabla mwaka haujaisha.
Amesema mtoto ni faraja katika maisha ya familia ana sehemu kubwa kumfariji mzazi.
Akizungumzia hilo, Baby alisema wasanii ambao wana watoto wamekuwa wakiyaendesha maisha yao kwa mpangilio mzuri.
“Nitajitahidi nipate mtoto kabla mwaka haujaisha, naamini ndiye atakuwa mfariji wangu,”alisema.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.