Wednesday, April 8, 2015

Anonymous

Alichokisema King Crazy GK kuhusu video na picha za mpenzi wake akibusiana na Alikiba…#U Heard@CloudsFM

7
Kunataarifa kuwa mahusiano kati ya mtangazaji wa Clouds Fm  Loveness Love na mwanamziki mkongwe King Crazy GK, wameachana baada ya hivi karibuni kusambaa picha zikimuonyesha mtangazaji huyo akipigana busu na star wa Bongo Flava katika tamasha moja hivi karibuni. 

Soudy Brown amemtafuta Gk ambae amesema hakuwepo eneo la tukio lakini aliziona picha hizo kwenye mitandao, ila yeye aliona ni tukio la kawaida kwasababu wote ni watu wa burudani, kwa hiyo taarifa za kuachana sio za kweli  bado wako pamoja kama zamani.
Kusikiliza story yote bonyeza play hapa chini…

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.