Wednesday, April 29, 2015

Anonymous

AJALI Fulwe Mikese: Basi la Abood limegongana na basi la Takbir

Kumetokea ajali asubuhi ya leo majira ya saa 8:48 am maeneo ya Mikese kijiji cha Fulwe kati ya basi la Abood na Takrbir baada ya ku-overtake, yote yakitokea Morogoro kuja Dar, na kusababisha folen kubwa ya magari kwa zaidi ya saa moja.
Picha karibu na eneo la tukio, hapo bondeni ndio kuna ajali!

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia hapa!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.