Friday, April 24, 2015

Anonymous

8 PICHAZ: SHUHUDIA MH. MBOWE WA CHADEMA ALIVYOTIKISA SIMIYU!

Maelfu ya wananchi wakimsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kijijini Lagangabili jimbo la Itilima mkoani Simiyu jana jioni wakati wa uzinduzi wa FTP 200 ambao ni mpango wa ulinzi wa kura

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa wilaya ya Itilima katika Mkutano wa hadhara ulifanyika katika viwanja vya Lagangabili makao makuu ya ya wilaya

Mkutano unaendelea


Mkutano unaendelea


USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.