Wanadamu tumezoea kusahau tulipotoka na mara nyingi historia yetu ya kale tumeibatiza jina la ushamba lakini si kwa mwanadada Shilole "Sishi Baby" mkali wa mduara wa kina dada hapa ameamua kuwaonyesha flash back picture na mafans wake wajue zaidi wapi alipotoka na jitihada pekee ndizo zilizomfikisha hapo kiasi kwamba hata wewe unaweza kubadili muonekano wa maisha yako!
Mtazame hapa shilole enzi hizooooo!!
Je, Nuh Mziwanda mtoto wa Ilala born town angekutana na Shilole wa enzi hizo mtoto wa Igunga angeweza kupagawa naye kweli? Jibu hapa ujipime mwenyewe kama ndo ungekuwa Nuh.....
Na huyu ni Shilole wa enzi hizo!
Note: Only a member of this blog may post a comment.