Kupitia ukurasa wake wa Instagram, mwanadada Lady Jay Dee amepost picha ya majeneza mawili ambayo angependa mojawapo azikwe nalo na kuandika hivii;
"I've changed my mind (Nimebadilisha mawazo)
Sitaki tena lile la purple
Moja kati ya hayo hapo juu
#MsiMind
#KilaMtuAtakufa
#Msiogope
Nilikuwa nafikiria pia iwe invitees only (akimaanisha kwa watakaoalikwa tu)
#SitakiKufunuliwa"
Sitaki tena lile la purple
Moja kati ya hayo hapo juu
#MsiMind
#KilaMtuAtakufa
#Msiogope
Nilikuwa nafikiria pia iwe invitees only (akimaanisha kwa watakaoalikwa tu)
#SitakiKufunuliwa"
Una lipi la kumwambia au kumshauri Lady Jay Dee?

.jpg)

Note: Only a member of this blog may post a comment.