Friday, March 20, 2015

Anonymous

Ajali Mikumi, muswada Bungeni na Mkapa uteuzi wa viongozi zote kwenye#PBClouds FM

s7
Katika zile zilizopewa Headlines kwenye Magazeti ya leo March 20, iko ya Serikali bado haijawasili kwenye ofisi za Bunge muswada ikiwemo ya vyombo vya habari ambayo itasomwa na kujadiliwa kwenye vikao vya Bunge vinavyoendelea, chama cha ACT kimejipanga kumpokea Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ajali zimendelea ndani ya hifadhi ya Mikumi baada ya watu 7, kufariki kwenye ajili ya basi jana ndani ya hifadhi hiyo, wanafunzi  wa shule ya Sekondary Mwika na Ashira wamesema mfumo wa BRN nivigumu kutekelezeka katika sekta ya elimu, Mkuu wa Mkoa wa Dar Saidi Meck Sadiki ameishauri BOT, kuzibana benki na taasisi za fedha kupunguza riba ili wananchi wengi wakope, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameelezea kukerwa na mafisadi wa fedha za umma kuachwa badala la kuchukuliwa hatua kali, Bunge limeitaka Serikali kupiga marufuku uingizwaji wa silaha bandia nchini, Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa amekosoa uteuzi wa viongozi wa umma nchini, Serikali na wadau wa sekta ya elimu wametakiwa kuboresha shule kongwe nchini.

Bonyeza play kusikiliza Uchambuzi wa Magazeti ya Leo
-via millardayo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.