Katika
zile zilizopewa Headlines kwenye Magazeti ya leo March 20, iko ya
Serikali bado haijawasili kwenye ofisi za Bunge muswada ikiwemo ya
vyombo vya habari ambayo itasomwa na kujadiliwa kwenye vikao vya Bunge
vinavyoendelea, chama cha ACT kimejipanga kumpokea Mbunge wa Kigoma
Kaskazini, Zitto Kabwe,
ajali zimendelea ndani ya hifadhi ya Mikumi baada ya watu 7, kufariki
kwenye ajili ya basi jana ndani ya hifadhi hiyo, wanafunzi wa shule ya
Sekondary Mwika na Ashira wamesema mfumo wa BRN nivigumu kutekelezeka
katika sekta ya elimu, Mkuu wa Mkoa wa Dar Saidi Meck Sadiki ameishauri BOT, kuzibana benki na taasisi za fedha kupunguza riba ili wananchi wengi wakope, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
ameelezea kukerwa na mafisadi wa fedha za umma kuachwa badala la
kuchukuliwa hatua kali, Bunge limeitaka Serikali kupiga marufuku
uingizwaji wa silaha bandia nchini, Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa amekosoa uteuzi wa viongozi wa umma nchini, Serikali na wadau wa sekta ya elimu wametakiwa kuboresha shule kongwe nchini.
Bonyeza play kusikiliza Uchambuzi wa Magazeti ya Leo

Note: Only a member of this blog may post a comment.