Wednesday, March 11, 2015

Anonymous

[3 PICHAZ] Mtoto wa ajabu azaliwa Hospitali ya Mkoa Shinyanga


Mwanamke mmoja mkazi wa manispaa ya Shinyanga amejifungua mtoto wa ajabu wa kike asiyekuwa na mdomo wala pua huku masikio yake yakiwa shingoni katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Mfaume Salum amesema mtoto huyo alizaliwa jana saa moja asubuhi na alifariki muda mfupi baadaye kutokana na kasoro alizokuwa nazo.

Mwandishi wa habari hii amefuatilia kwa ukaribu zaidi habari hii,Tutawaletea habari kamili hivi punde,ikiwemo sababu za kuzaliwa kwa watoto wa namna hiyo.
Na Nunu Abdul, Malunde1 blog

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.