Inadaiwa kabla ya kujinyonga jana saa 12 asubuhi, alimkata mapanga mkewe akimtuhumu kutembea nje ya ndoa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe alisema wanandoa hao walikuwa na ugomvi wa muda mrefu.
Inadaiwa baada ya kujibizana kwa maneno, mume alimkata mkewe sehemu za mdomo na mkono wake wa kulia.
Kamanda Mwaibambe alisema mume aliingia ndani ya nyumba yake na kuchukua gauni la mkewe na kujining’iniza darini katika sebuleni ya nyumba yake.
Mwaibambe alisema Velidiana amelazwa katika Hospitali ya Ndolage wilayani Muleba na hali yake inaendelea vizuri.
Mwili wa marehemu ulichukuliwa na ndugu zake na kuzikwa baada ya uchunguzi kukamilika.
LAANA! Babu Amlawiti Mjukuu Wake wa Kike! Amhonga sh.2000 ili Asitoe Siri!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.