Kijana Mussa akiwa hoi baada ya kung'olewa meno.
Na Mwandishi Wetu MbeyaKijana aliyefahamika kwa jina moja la Musa hivi karibuni alichezea kichapo cha nguvu kisha kung’olewa meno kwa koleo baada ya kunaswa akitaka kuiba nyumbani kwa mtu.
Tukio hilo lilitokea katika mji mdogo wa Tunduma uliopo wilayani Momba mkoani hapa ambapo kijana huyo alinaswa akiingia kwenye nyumba iliyopo Mtaa wa Tazara, Kata ya Kaloleni ya mtu aliyefahamika kwa jina la Mahinya.
Akiwa mikononi mwa polisi.
“Akaminywa sehemu za siri kisha akang’olewa meno kwa koleo na baadaye
akapelekwa Kituo Kidogo cha Polisi Tunduma kwa hatua za kisheria lakini
akiwa nyang’anyang’a.”
KWISHNEI! NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.