Thursday, December 22, 2016

Unknown

Serengeti Boy Afunguka Jinsi Shilole Alivyomtongoza na Kumtumia Kisha Kumtosa

Shilole amekuwa na tabia ya kutoka na viserengeti Boy na kila anayekutana naye anampost mtandaoni wakiwa mapozi tata au wakifanya utata utata. Mmoja wa Serengeti boy anadai Shilole alimkomalia kumtongoza sana akakosa uhuru kwa kuwa alikuwa dansa wake ikibidi amkubali, lakini aliishia kupata maumivu kwani alitoswa katikati.
Shilole alipohojiwa anadai hajamtongoza ila kijana huyo anajifariji!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.