Wednesday, November 9, 2016

Unknown

Breaking News: Rasmi Marekani Yaishangaza Dunia Kwa Kuamua Bilionea Donald Trump Kuwa Rais Wao Mpya

#UchaguziMarekani:Matokeo ya uchaguzi wa urais Marekani #DonaldTrump ashinda kwa kura 276 na #HillaryClinton kura 218.
Kwa matokeo hayo sasa #Trump ndiye rais mteule wa 45 wa Marekani ataye mrithi mtangalizi wake, Rais Barack Obama mwakani.
Mpinzani wa #Trump Bi.#HillaryClinton ampigia simu na kumpongeza kwa ushindi.
,.Bonyeza hapa kuona ->g.co/kgs/k28zYi

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.