Saturday, October 22, 2016

Unknown

Hutakiwi Kuikosa Hii Kutoka Kwa Diamond Platnumz Kuhusu MTV MAMA 2016

Diamond Platnumz ni moja kati ya wasanii watakaopata nafasi ya kuperform katika tuzo hizo, kama ulikuwa una mpango wa kukosa tuzo hizo hata kwa kuangalia kwenye TV, Diamond ametumia ukurasa wake wa Instagram kukujulisha kwa nini uhitaji kukosa tuzo hizo “Tafadhali sana ndugu zangu naomba kesho msikose kutazama tunzo za MTVMAMA…. kijana wenu nimepanga kuwadhihilishia Ulimwengu Kuwa Africa Mashariki kuna zaidi ya Wasanii”.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.