Msichana akitaka kukutafutia sababu ya kukukataa wala hatumii nguvu, ana full of option, na majibu yao makuu ni haya yafuatayo:
2.We sio type yangu... Sasa sijui type ipi anataka Nokia au Samsung!
3.Am not ready, moyo wangu umepasuka... Moyo upasuke bado unatembea? Tairi lenyewe likipasuka watu wanaziba
pancha...
Kuwa Mwanaume shida, tunapambana na majibu unaweza kumzaba vibao mtu na Love inaisha hapo hapo!
Note: Only a member of this blog may post a comment.