Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, September 12, 2016
Unknown
Surprise ya ALIKIBA Show ya Mombasa Yawajambisha Mapovu WCB, Meneja wa DIAMOND Arusha Madongo Gizani
Unakumbuka Fiesta Mwanza wasanii wote watakao tumbuiza walitangazwa ila kuna msanii mmoja alitumbuiza kama bonus au surprise. Hali hiyo ilijitokeza tena jana mjini Mombasa, mwanzo chama cha ODM kilitangaza Diamond atatumbuiza lakini baada ya show yake Alikiba naye alipanda kutumbuiza.
Uongozi wa Diamond umeamua kurusha dogo upande wa pili kama ifuatavyo:
Note: Only a member of this blog may post a comment.