Thursday, September 1, 2016

Unknown

Producer Nahreel Aelekezea Jinsi Alivyokutana na Mpenzi Wake Aika

Tunapohitaji kuzungumzia moja kati ya couples za mastaa wa kibongo zenye muonekano wa kupendeza kwenye macho ya mashabiki na jamii kwa ujumla,lazima utapata list ndefu yenye majina makubwa kama DAIMOND na ZARI au JUX na VANESSA na wengine kibao

Ila moja kati ya Bombastic couple in town ni ya AIKA na NAHREEL kwa pamoja wanaitwa NAVY KENZO mara kadhaa tumemskia AIKA akielezea namna walivyokutana sasa kwa mara ya kwanza NAHREEL aeleza namna walivyo kutana yeye na mpenzi wake huyo,Nahreel aliongea hayo walipokua katika moja ya show za fiesta mara alipopata nafasi ya kuongea na wanafunzi huko bukoba.
“Aliwaambia wanafunzi, nilikutana naye shule, na mimi nikawaambia, na sasa tunatumia akili yetu ya shule kufanya mziki"

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.