Mwanamama mzazi mwenza wa mheshimiwa Joseph Mbilinyi Sugu atangaza kutafuta mwanaume ili ampe ujauzito na hatimaye apate mtoto wa kiume kwa kuwa ana nguvu za kutosha za kulea
Haya sasa kazi kwenu ambao hamna mademu, toto limejitokeza hilo changamkia fursa kabla hajabadili mawazo
NB: Awe mtanashati siyo mtu wa mchezo mchezo
Haya sasa kazi kwenu ambao hamna mademu, toto limejitokeza hilo changamkia fursa kabla hajabadili mawazo
NB: Awe mtanashati siyo mtu wa mchezo mchezo


Note: Only a member of this blog may post a comment.