Lil Wayne amefunguka na kudai kuwa aliumizwa na taarifa za Drake
kutembea na mpenzi wake Tammy Torres wakati alipofungwa jela [Riker’s
Island] mjini New York miaka sita iliyopita.
Wayne amefunguka hayo kwenye kitabu chake cha Gone ‘Til November ambacho anatarajia kukitoa Oktoba 11, mwaka huu.
“Finding out that she f****d Drake was the absolute worst thing I
could have found out,” Wayne said. “Drizzy came to see me, he was like,
‘Yeah, it’s true.’ Damn! This is the type of s*** a man never wants to
find out while he is locked up,” amesema Wayne kwenye kitabu hicho.
Drake na Tammy wakati wa mahusiano yao
Mwaka jana Tammy aliwaambia waandishi wa habari kuwa endapo Lil Wayne
ataiweka stori hiyo kwenye kitabu chake hicho, yeye ataweka hadharani
ukweli kuhusu hilo lililotokea.
“First of all I just got back into the country so I don’t know what
Wayne is talking about,” alisema Tammy. “But if he decides to come out
with whatever… I would have the real story, I would have to tell you the
real story. But at a better time.”
-via Bongo5
Note: Only a member of this blog may post a comment.