Friday, September 16, 2016

Unknown

Hii Ndio Nguvu Aliyobeba Mwanamke

Tukumbuke kwamba kinyume cha beba ni shusha, na kinyume cha kusanya ni tapanya, basi ukishindwa kumuhendo mwanamke vizuri kwa upendo na uaminifu mkubwa basi wewe mwenye utakuwa umejitengenezea jehanamu.

A - Pale mwanaume anapompa mwanamke mbegu, mwanamke humpa mwanaume mtoto.
B - Pale mwanaume anapompa mwanake nyumba, mwanamke uifanya nyumbani.
C - Ukimpa mwanamke bidhaa za shambani yeye anakutengenezea chakula
D - Ukimpa maneno machache yeye anakutengenezea sentensi nzima
E - Ukiamua kumchanganya akili yake kidogo tu yeye anaweza kukuvurugia maisha yako yote, ila ukimpa furaha kidogo yeye atayafanya maisha yako yawe paradiso. Kwahiyo tusilaumiane.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.