Saturday, June 4, 2016

Unknown

Breaking News: Msiba Mkubwa Duniani... Bondia Bingwa wa Kihistoria Muhammad Ali Amefariki!

Bondia wa zamani ambaye alijiita ‘the greatest’ ambaye alikuwa ni miongoni mwa watu maarufu na wenye wapenzi wengi duniani, Mohammad Ali amefariki akiwa na umri wa mika 74.

Bingwa huyo wa dunia wa uzani wa juu wa zamani alilazwa hospitalini toka siku ya Alhamisi June 02 2016 kufuatia tatizo kwenye mapafu, Bondia huyo mbali na kupatwa na tatizo kwenye mapafu alikuwa akiugua kiharusi. Ali alipatikana na ugonjwa wa Parkinson mwaka wa 1984 baada ya kustaafu ngumi za kulipwa .

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.