Breaking News: Msiba Mkubwa Duniani... Bondia Bingwa wa Kihistoria Muhammad Ali Amefariki!
Bondia wa zamani ambaye alijiita ‘the greatest’ ambaye alikuwa ni
miongoni mwa watu maarufu na wenye wapenzi wengi duniani, Mohammad Ali
amefariki akiwa na umri wa mika 74.
Bingwa huyo wa dunia wa
uzani wa juu wa zamani alilazwa hospitalini toka siku ya Alhamisi June
02 2016 kufuatia tatizo kwenye mapafu, Bondia huyo mbali na kupatwa na
tatizo kwenye mapafu alikuwa akiugua kiharusi. Ali alipatikana na
ugonjwa wa Parkinson mwaka wa 1984 baada ya kustaafu ngumi za kulipwa .
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Note: Only a member of this blog may post a comment.