“Ni kweli kocha Mkwasa kaniita timu ya taifa ila kwa sasa nasikiliza uongozi wangu, kila kitu nawaachia viongozi, kama nitaenda au sitaenda mtajua tu maamuzi ya mwisho”
-via millardayo
Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Note: Only a member of this blog may post a comment.