Huku Instagram picha hizo mbili zimekuwa gumzo leo baada ya Mama mtoto wa Diamond kwasasa Zari Hassan na aliyekuwa mumewe Ivan Kuonekana wamepiga picha sehemu moja inayofanana kwenye sehemu ya kuogelea..Picha hizi zimeleta wasiwasi kuwa huenda wawili hao walikuwa pamoja wakiogelea huku wengine wakimtetea Zari na kusema kuwa yeye alikuwa hiyo sehemu siku nyingi lakini Ivan ameenda sehemu hiyo hiyo na kupiga picha na kuzitupia mtandaoni leo kumuumiza Diamond na kuwapa watu cha kuongea
Monday, May 2, 2016
UTATA! Je, ZARI na Aliyekuwa Mumewe Ivan Wamerudiana? Hizi Picha zazua Utata Mkubwa Huko Insta
JE, UMEZISOMA HABARI HIZI?

Sio Chid Benz Tu Tazama Hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) Baada ya Kuathirika na M...

Amber Lulu 'Amzodoa' Gigy Money, Ampa Maneno Makali!

Mwana FA: Mwaka 2017 Hautakufanyia Chochote Kama Hauna Mipango!

Diamond Platinumz Atikisa Australia... Wimbo Wake Wavunja Rekodi ya Mwaka!

Ukweli Kuhusu Chuki na Ushindani Ndani ya WCB ya Diamond Platinumz!

Wabogojo alivyoisaidia Muziki ya Darassa kupaa kimataifa, soma maoni ya mashabik...
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
CELEBRITIES,
UDAKU
on Monday, May 2, 2016
Note: Only a member of this blog may post a comment.