Stori: Imelda Mtema, Wikienda
KITUKO: Kweli? Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Shamsa Ford na Faiza Ally wametamba kuwa wanasherekea maisha ya ‘usingo mama’ wakidai wanalea wenyewe watoto wao bila wazazi wenzao.
KITUKO: Kweli? Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Shamsa Ford na Faiza Ally wametamba kuwa wanasherekea maisha ya ‘usingo mama’ wakidai wanalea wenyewe watoto wao bila wazazi wenzao.
Wakizungumza na Wikienda kwa pamoja wakiwa kwenye viwanja vya bata
jijini Dar, Shamsa na Faiza walidai kuwa, pamoja na wazazi wenzao kukaa
pembeni na kuwaachia majukumu ya kulea, ‘wanainjoi’ na kwamba wao ni
mfano wa wanawake wanaojiamini.
“Sisi
ni ‘singo mama’, tunasherehekea kulea wenyewe, hili ni jeshi kamili
halimtegemei mtu,” alisema Shamsa anamlea mwanaye Terry aliyezaa na
Dickson Matok ‘Dick’ huku Faiza anayeishi na mwanaye Shasa aliyezaa na
Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ akidakia huku wakigonganisha viganja:
“Tunasherekea kuwa singo mamaa…”
Kwa upande wao, Dick na Sugu hawakupatikana ili kusikia upande wao juu ya ishu hiyo hivyo jitihada zinaendelea.
Kwa upande wao, Dick na Sugu hawakupatikana ili kusikia upande wao juu ya ishu hiyo hivyo jitihada zinaendelea.
Note: Only a member of this blog may post a comment.