Mai aliitonya safu hii kuwa, ameamua kufanya shindano hilo kwa ajili ya kuinua vipaji na kuwapa ajira baadhi ya wasichana wanaokata nyonga.
“Si unanijua huwa napenda kuwainua wasichana wenzangu kupitia shoo mbalimbali! Mimi siko kama watu wengine, najivunia kuona mtu anaendesha gari kupitia mgongo wangu au kama hivi pikipiki itakuwa ni ajira kwa mtu,” alisema Maimartha.
Note: Only a member of this blog may post a comment.