Pichani ni Bibi kizee mwenye umri wa miaka 84 na mkazi wa Kijiji cha Chungu, tarafa ya Ihanja, wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida akiwa amebebwa na mmoja wa ndugu zake wakati akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mjini Singida kutoa ushahidi katika kesi inayomkabili kijana mmoja mwenye umri wa miaka 32 (jina lake halikupatikana) anayetuhumiwa kumbaka bibi kizee huyo kwa mara ya tatu sasa ndipo walipofanikiwa kumkamata.
Friday, April 15, 2016
JE, UMEZISOMA HABARI HIZI?

Rais Magufuli Asema Bei ya Umeme HAITAPANDA Hata Kidogo... Ampongeza Waziri Muho...

POLE POLE Asema CCM Inahitaji Viongozi Waliojikita Katika Imani ya Chama!

ZITTO Kabwe: Mwaka 2016 Ulikuwa wa Utumbuaji Majipu na Kusahau Kuboresha Maisha ...

VIDEO ya Kusikitisha, Walimu Wakichangia Kumpiga Mwanafunzi Ofisini

Sakata la Mauaji ya Kutisha Msikitini Mwanza: Kundi la Kigaidi la ISIS Lahusishw...

Mtu Mwingine Auawa Kwa Kukatwa Mapanga Usiku Sengerema Mkoani Mwanza
Note: Only a member of this blog may post a comment.