Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Zifuatazo ni picha kutoka eneo la machimbo:

Baadhi ya maiti zilizotolewa katika kifusi kilichodondoka.
Zoezi la uokoaji likiendelea.

Note: Only a member of this blog may post a comment.