Kuna watu wanaweza kuigiza sauti ya mtu alafu ukiwasikiliza unacheka na kubaki mdomo wazi… huyu jamaa ni miongoni mwa hao Mamaster, mtazame anaitwa Shaphii Omary kwenye hii video alafu uniachie comment chini kuniambia kampatia nani zaidi mtu wangu.
KUTANA NA HUYU MCHEKESHAJI ALIYEIIGILIZIA SAUTI YA RAIS MAGUFULI…. JINA LAKE NI MLUGALUGA, MTAZAME KWENYE HII VIDEO HAPA CHINI.
Note: Only a member of this blog may post a comment.