Wednesday, March 16, 2016

Anonymous

Msanii wa Uganda Kuhamia Tanzania ili Kusajiliwa WCB Ya Diamond Platnumz

Msanii wa Uganda anayefanya muziki wa rnb ‘Aziz Azion’ ameripotiwa kuhamia Tanzania ili kufanya wimbo na Diamond Platnumz na kujiunga na lebel ya Diamond Platnumz ya Wasafi records.
Mshkaji wa karibu wa Aziz amesema kama jamaa aki saini na Wasafi itabidi ahamie Tanzania.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.