Wednesday, March 9, 2016

Anonymous

Mgonjwa Afariki Hospitali Sinza Palestina Kwa Kukosa Dripu ya MAJI

Wakati serikali ikipambana kuboresha muhimbili, Mgonjwa amefariki hospitali ya Palestina Sinza, kwa kukosa dripu ya maji.
Bwana Chesco Athmani amepoteza maisha katika hospitani ya Palestina Sinza, Dar es Salaam kufuatia hospitali hiyo kukosa maji ya kuongezea wagonjwa.
Ndugu wa marehemu wamemlalamikia daktari wa zamu kwa kushindwa kumpa huduma mgonjwa wao na kuwajibu vibaya.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.