Kikosi cha Usalama Barabarani kanda maalum ya Dar es salaam kimetangaza kukusanya kiasi cha shilingi Milioni 365 kutokana na ukamataji wa makosa ya usalama Barabarani kwa kipindi cha kuanzia February 28 2016 hadi March 07 2016.
Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro amesema…>>>‘Hatusemi
kwamba lengo letu kukusanya mapato mengi kwamba ni sifa sana kwetu,
hapana tunafanya hivyo ili watu wafuate sheria na hatufanyi hivyo ili
kuwakomoa watu, kikubwa kufuata tu sheria‘:-Simon Sirro
HIZO MILIONI 365 ZIMETOKANA NA HII LIST HAPA CHINI- IDADI YA MAGARI YALIYOKAMATWA –8,647
- IDADI YA PIKIPIKI ZILIZOKAMATWA –3,851
- DALADALA ZILIZOKAMATWA –5,130
- MAGARI MENGINE (BINAFSI NA MALORI) –3,517
- JUMLA YA MAKOSA YALIYOKAMATWA –11,950
Note: Only a member of this blog may post a comment.