Thursday, March 17, 2016

Anonymous

Jina la Msanii wa P Square Analotumia Kama Solo Artist ‘Mr P’ Limepondwa na Kukataliwa na Mashabiki wa Muziki Nigeria

Jina la msanii wa P Square analotumia kama solo artist ‘Mr P’ limepondwa na kukataliwa na mashabiki wa muziki Nigeria na wengi wametoa majina kadha anayoweza kutumia kama solo artist.

Majina haya ni

Mr Pedro>Ikimaanisha Peter kwa lugha ya Spanish au kilatino

Pitrus Mushica

P-Money> Ni vizuri jina la msanii lihusishwa na pesa kama bosi wa Kcee E-Money.

P-Love> sababu ya uimbaji wake anafaa sana kuwa na jina kama hili.

Young P>Hapa sina la kusema.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.