Mastaa mbalimbali wa Afrika jana waliadhimisha siku ya wanawake
duniani kwa namna mbalimbali. Hawa ni baadhi ya waliotuma ujumbe mahsusi
kwa wanawake wao muhimu maishani.
Mr Blue
Ujumbe: #happywomensday
Diamond
Ujumbe: Allow me to wish Happy Women’s Day to my precious
Gelly wa Rhymes
Ujumbe: Happy women’s Day to all women out there!! Love u so much Elizabeth promise to make u proud Mum! God bless u!
Alikiba
Ujumbe: Happy Women’s Day || Kheri ya Siku ya Wanawake
Duniani kwa Mama yangu, dada yangu pamoja na Wanawake wengine wote
Tanzania na duniani. Tunawathamini na kuwapenda sana. #WomensDay2016
#KingKiba
Mastaa wa Nigeria nao hawakuwa nyuma. Miongoni mwao ni Davido, D’ija na wengine.
Baada ya kupost picha hiyo, Di’ja aliandika, “ “M.A.M.A 😘😘😘😘😘😘 without u there is no me. Everyday is mother’s and Father’s Day.”
Note: Only a member of this blog may post a comment.