Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, February 29, 2016
Anonymous
Waziri Mkuu Amsimamisha Daktari wa Hospitali ya Rufaa Mtwara Baada ya Tuhuma za Kupokea Rushwa
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi kwa muda usiojulikana daktari mmoja wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mtwara, Ligula, Dkt. Fortunatus Namahala, kufuatia kuwa na tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa mgonjwa.
Note: Only a member of this blog may post a comment.